
Najua utakuwa umeshawahi kujiuliza, kwa nini mahusiano ya ndoa nyakati hizi yamekuwa na changamoto nyingi sana? Kwa nini ndoa za wazazi wetu zimeendelea kudumu miaka na miaka tofauti na mahusiano ya ndoa kwa vizazi vya hivi karibuni? Majibu yake ndio yakanifanya niandike kitabu hiki ambacho kitaweka nuru na dira katika mchakato wa mahusiano ya urafiki, uchumba hadi kupelekea ndoa zenye uimara.
Hata hivyo baada ya kuyaona hayo yote nikapata hamu ya kuanza kujifunza kwa bidii kile nilichokipitia MIMI BINAFSI KWENYE NDOA YANGU na ambacho Mungu anataka nikitumie kuwafundisha watu wake ili kiwasaidie na kuwajengea uwezo wa kufahamu, kuelewa na kufurahia maisha yao ya ndoa.
Najua utakuwa umeshawahi kujiuliza, kwa nini mahusiano ya ndoa nyakati hizi yamekuwa na changamoto nyingi sana? Kwa nini ndoa za wazazi wetu zimeendelea kudumu miaka na miaka tofauti na mahusiano ya ndoa kwa vizazi vya hivi karibuni? Majibu yake ndio yakanifanya niandike kitabu hiki ambacho kitaweka nuru na dira katika mchakato wa mahusiano ya urafiki, uchumba hadi kupelekea ndoa zenye uimara.
Hata hivyo baada ya kuyaona hayo yote nikapata hamu ya kuanza kujifunza kwa bidii kile nilichokipitia MIMI BINAFSI KWENYE NDOA YANGU na ambacho Mungu anataka nikitumie kuwafundisha watu wake ili kiwasaidie na kuwajengea uwezo wa kufahamu, kuelewa na kufurahia maisha yao ya ndoa.