Call Us : +255743157785
    Sign up and GET 50% OFF for your first order orRegister as author

    Books

    Sintaksia  ya  Kiswahili:  Nadharia za Kisintaksia  na Uchanganuzi wa Kiswahili
    Elimu & Taaluma

    Sintaksia ya Kiswahili: Nadharia za Kisintaksia na Uchanganuzi wa Kiswahili

    TZS 10,000

    Mambo Muhimu Yaliyomo Ndani ya Kitabu hiki:

    ·         Kategoria za Kisintaksia katika lugha ya Kiswahili: yaani Kategoria za Kileksika/Maneno na Kategoria za Virai/Kimuundo.

    ·         Tungo katika lugha ya Kiswahili: Tungo Neno, Tungo Kirai, Tungo Kishazi, Tungo Sentensi.

    ·         Viambajengo katika lugha ya Kiswahili: Ushahidi wa uwepo wa viambajengo, dhana mbalimbali za viambajengo, mahusiano ya kiutawala na kutangulia ya viambajengo, Kanuni ya Mahusiano ya Utawala wa Viambajengo [C- Command Relations].

    ·         Sarufi Mapokeo: uchanganuzi wa tungo katika Kiswahili kwa mkabala wa sarufi hiyo.

    ·         Sarufi Muundo Virai: kanuni za muundo virai, na uchanganuzi wa tungo katika Kiswahili kwa mkabala wa sarufi hiyo.

    ·         Sarufi Geuzi Maumbo Zalishi: dhana zake kama vile: Uchamko, Ujalizaji, Uunganishaji, Utegemezaji, na kanuni za ugeuzi pamoja na uchanganuzi wa tungo katika Kiswahili kwa mkabala wa sarufi hiyo.

     

    Kitabu Hiki ni kwa Ajili ya Nani?

    ·         Walimu & Wahadhiri: Wanaotaka kuandaa notisi za kufundishia Kiswahili na kozi ya Sintaksia darasani, mtandaoni, e-books, na kuandika vitabu vya Sarufi.

    ·         Waandishi & Watafsiri: Wanaofanya tafsiri kutoka lugha moja Kwenda Kiswahili. Wanapaswa kujua sintaksia.

    ·         Watafiti wa Lugha za Asili: Wanaofanya utafiti katika Kiswahili.

    ·         Wanafunzi wa Shahada ya Awali, Umahiri na Uzamivu: Wanaotaka kupata kitabu cha marejeleo katika kozi zao za sarufi ya Kiswahili.

    ·         Wapenzi wa Kiswahili: Wanaotaka kulinda na kukuza lugha ya Kiswahili.

    Views: 34
    Share :

    Mambo Muhimu Yaliyomo Ndani ya Kitabu hiki:

    ·         Kategoria za Kisintaksia katika lugha ya Kiswahili: yaani Kategoria za Kileksika/Maneno na Kategoria za Virai/Kimuundo.

    ·         Tungo katika lugha ya Kiswahili: Tungo Neno, Tungo Kirai, Tungo Kishazi, Tungo Sentensi.

    ·         Viambajengo katika lugha ya Kiswahili: Ushahidi wa uwepo wa viambajengo, dhana mbalimbali za viambajengo, mahusiano ya kiutawala na kutangulia ya viambajengo, Kanuni ya Mahusiano ya Utawala wa Viambajengo [C- Command Relations].

    ·         Sarufi Mapokeo: uchanganuzi wa tungo katika Kiswahili kwa mkabala wa sarufi hiyo.

    ·         Sarufi Muundo Virai: kanuni za muundo virai, na uchanganuzi wa tungo katika Kiswahili kwa mkabala wa sarufi hiyo.

    ·         Sarufi Geuzi Maumbo Zalishi: dhana zake kama vile: Uchamko, Ujalizaji, Uunganishaji, Utegemezaji, na kanuni za ugeuzi pamoja na uchanganuzi wa tungo katika Kiswahili kwa mkabala wa sarufi hiyo.

     

    Kitabu Hiki ni kwa Ajili ya Nani?

    ·         Walimu & Wahadhiri: Wanaotaka kuandaa notisi za kufundishia Kiswahili na kozi ya Sintaksia darasani, mtandaoni, e-books, na kuandika vitabu vya Sarufi.

    ·         Waandishi & Watafsiri: Wanaofanya tafsiri kutoka lugha moja Kwenda Kiswahili. Wanapaswa kujua sintaksia.

    ·         Watafiti wa Lugha za Asili: Wanaofanya utafiti katika Kiswahili.

    ·         Wanafunzi wa Shahada ya Awali, Umahiri na Uzamivu: Wanaotaka kupata kitabu cha marejeleo katika kozi zao za sarufi ya Kiswahili.

    ·         Wapenzi wa Kiswahili: Wanaotaka kulinda na kukuza lugha ya Kiswahili.

    Instant Access
    No more waiting. Get instant access to your products.
    Flexible Payment
    Mobile payments like M-PESA, MIXX, AIRTEL MONEY, and Credit Cards.
    24×7 Support
    We value your content, and we are here to support you all days of the week.