
Uongozi ni tunu na jitihada kulingana na pahala ulipofunuliwa na kutumika. Uongozi ni tabia na yenye chembechembe za taaluma.
Uongozi ndio kioo kinachoaksi maono ya Taasisi yoyote ile. Ukiona taasisi inastawi sana na kusonga mbele kwa kasi kubwa sana, fahamu hapo pana Uongozi Imara; ukiona taasisi imesimama paleplape au imedumaa, fahamu kuwa hapo pana Uongozi wa Ujuaji; na ukiona taasisi inarudi nyuma kila uchao, fahamu kuwa pana Uongozi Dhaifu.
Uongozi ni tunu na jitihada kulingana na pahala ulipofunuliwa na kutumika. Uongozi ni tabia na yenye chembechembe za taaluma.
Uongozi ndio kioo kinachoaksi maono ya Taasisi yoyote ile. Ukiona taasisi inastawi sana na kusonga mbele kwa kasi kubwa sana, fahamu hapo pana Uongozi Imara; ukiona taasisi imesimama paleplape au imedumaa, fahamu kuwa hapo pana Uongozi wa Ujuaji; na ukiona taasisi inarudi nyuma kila uchao, fahamu kuwa pana Uongozi Dhaifu.